Tafuta

Papa Francisko na Askofu Mkuu Nicolas Thevenin balozi mpya wa Vatican huko Oman. Papa Francisko na Askofu Mkuu Nicolas Thevenin balozi mpya wa Vatican huko Oman.  (Vatican Media)

Papa amemteua Balozi wa Vatican huko Oman

Jumatato 22 Mei 2023,Baba Mtakatifu Francisko amemteua Balozi wa Vatican katika Ufalme wa Omani,Askofu Mkuu Nicolas Henry Marie Denis Thevenin,ambaye hadi uteuzi wake alikuwa ni Balozi wa Vatican katika Jamhuri ya Kiarabu ya Misri.
22 May 2023, 16:33