Tafuta

Hija ya Kitume ya Papa Francisko Cyprus na Ugiriki:kukaribishwa rasmi Larnaca

Papa Francisko kwa mara ya kwanza amefika Cyprus katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kitume.Ni ziara ya 35 ya kimataifa kwa nchi hizi mbili na ambapo kwa siku mbili atakuwa hapo na baadaye kuelekea Ugiriki kabla ya kurudi tena Roma mnamo Jumatatu tarehe 6 Desemba 2021.

Na Sr. Angella Rwezaula - Vatican.

Katika ziara yake ya 35 kimataifa, Papa Francisko aliondoka kutoka Roma na Ndege  A320 ambayo kwa mara ya kwanza ina bendera ya Italia ambamo ndani mwake kulikuwa na waandishi wa habari 77, miongoni mwake 7 wakiwa ni kutoka Cyprus na Ugiriki. Papa Francisko amewasalimu wote na kuwashukuru kumsindikiza. "Ni safari nzuri  ambayo itagusa baadhi ya madonda. Ninatumaini tunaweza kweli kukaribisha ujumbe kutoka kwao", amesema Papa Francisko.

Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari

Baada ya kufika uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca saa 9 alasiri, amekaribishwa vizuri. Balozi wa kitume wa Cyprus, Askofu Mkuu Tito Yllana  alipanda ngazi kwenda kumsalimia Papa Francoslp kabla ya kushuka. Katika video fupi inaonesha matukio yaliyofuata.

Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa Franciko akiwa kwenye ndege na waandishi wa habari
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
Papa akitelemka uwanja wa ndege wa kimataifa Larnaca na makaribisho
02 December 2021, 17:57