Papa:Kwa mfano wa Padre Pino, miito mingi ipate kuzaliwa
Papa Francisko ameandika maneno katika kitabu cha wageni kwenye nyumba aliyokuwa anaishi Padre Pino Puglisi, mara baada ya kuitembelea na kuiona
Sr. Angela Rwezaula - Vatican
Baba Mtakatifu Francisko alipotembelea nyumba alipokuwa anaishi Padre Pino Puglisi, ameandika maneno kwenye kitabu ya kuwa: Ni matarajio yangu kwamba, kwa mfano wake Padre Pino, miito meingi inawezakana kuzaliwa.
16 September 2018, 11:38